بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمن الرَّحيم
Kwa Jina La Mwenyezi Mungu Mwingi Wa Rehema (Duniani) Mwenye Kurehemu (Akhera)
Hakika sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, tunamsifu, tunamuomba msaada na tunamuomba maghfirah, tunamuomba Atuhifadhi na shari za nafsi zetu, na maovu ya matendo yetu. Anayemuongoza Mwenyezi Mungu hapana wa kumpoteza, na Anayempoteza, hapana wa wa kumuongoza. Nakiri kwamba, hapana apasaye kuabudiwa ila Mwenyezi Mungu, hali ya kuwa peke Yake, hana mshirika, na ninakiri kwamba Muhammad ni mja Wake na ni Mtume Wake. Mwenyezi Mungu Amrehemu na Awarehemu jamaa zake na Maswahaba zake na wanaowafuata hao kwa wema mpaka siku ya malipo na Amsalimishe kwa amani nyingi.
Baada ya yaliyotangulia huu ni ufupi (Mukhtasar) wa kitabu kiitwacho “HISWN AL-MUSLIM MIN ADHKAAR AL-KITAAB WA SUNNAH”
Ninamuomba Mwenyezi Mungu kwa majina Yake mazuri, na sifa Zake zilizo juu, Ajaaliye kazi hii kuwa, imesafika lengo lake, kwa kutaka radhi zake Mwenyezi Mungu Mtukufu, na Aninufaishe kwa hayo katika uhai wangu huu, na baada ya kufa, na Amnufaishe atakayekisoma, kukichapisha, au aliyekuwa ni sababu ya kukitawanya, hakika Yeye Mwenyezi Mungu Ndiye Muweza.
Mwenyezi Mungu Amrehemu Mtume wetu Muhammad صلى الله عليه وسلم na Aali zake na Maswahaba wake na wanaowafuata hao, kwa wema mpaka siku ya malipo.بسم الله الرحمن الرحيم
Au nom d'Allah, le Tout Miséricordieux (mondiale) Très Miséricordieux (ci-après)
En vérité, la louange est à Allah, nous louons, nous avons cherché de l'aide et nous demandons maghfirah, nous demandons Atuhifadhi du mal de nos âmes et les maux de nos actions. Anayemuongoza Allah il n'ya pas de perdant, et Anayempoteza, aucun guide. J'admets qu'il n'y a pas d'autre dieu qu'Allah apasaye, état d'être seul, sans partenaire, et j'avoue que Muhammad est Son serviteur et Son Messager. Qu'Allah le bénisse et montrant l'amour à sa famille et ses compagnons et ceux qui les ont suivis dans la bonté jusqu'au Jour du Jugement et Amsalimishe plus paisible.
Après ce prologue est court (diminution) de l'ouvrage "HISWN AL-MUSULMAN MIN dhikr Kitab al-Sunna"
Ninamuomba Allah par Ses Noms agréable, et son éloge de dessus, Ajaaliye travaillent ce sera, imesafika son objectif, pour le plaisir de le Tout-Puissant Dieu Tout-Puissant, et Aninufaishe avec elle dans ma vie, cela, et après sa mort, et Amnufaishe lira, kukichapisha , ou qui a été la cause de kukitawanya, car c'est Lui Allah, le Tout-Puissant.
Allah bénir notre Prophète Muhammad صلى الله عليه وسلم et son Aal et ses compagnons et ceux qui les ont suivis, pour le bien jusqu'au Jour du Jugement.